Author Topic: Ruto on BBC  (Read 1157 times)

Offline vooke

  • Moderator
  • Enigma
  • *
  • Posts: 5985
  • Reputation: 8906
Ruto on BBC
« on: April 30, 2019, 11:12:32 AM »

Quote
Wafanyakazi wanne wamekamatwa Kenya kwa kutuhumiwa kuiba mayai yenye thamani ya $25 kutoka shambani mwa naibu rais William Ruto, vyombo vya habari nchini vimenukuu maafisa wa polisi.

Uchunguzi umeidhinishwa baada ya msimamizi katika shamba hili lililopo huko Sugoi katika mkoa wa bonde la ufa kupiga ripoti kwamba kuna mayai yaliopotea, polisi

"Uchunguzi wetu wa awali umefichua kwamba wafanyakazi wanne wanaoishi ndani ya shamba hilo walihusika katika wizi huo lakini wote wamelikana hilo," afisa wa polisi katika eneo hilo Zachariah Bittok amenukuliwa na vyombo vya habari nchini.




https://www.bbc.com/swahili/habari-48101839
2 Timothy 2:4  No man that warreth entangleth himself with the affairs of this life; that he may please him who hath chosen him to be a soldier.

Offline Kim Jong-Un's Pajama Pants

  • Moderator
  • Enigma
  • *
  • Posts: 8771
  • Reputation: 106254
  • An oryctolagus cuniculus is feeding on my couch
Re: Ruto on BBC
« Reply #1 on: April 30, 2019, 03:42:07 PM »
Difference between money earned and money stolen.  The man will have you locked up for $25 but will throw away millions in tangatanga harambees.
"I freed a thousand slaves.  I could have freed a thousand more if only they knew they were slaves."

Harriet Tubman

Offline vooke

  • Moderator
  • Enigma
  • *
  • Posts: 5985
  • Reputation: 8906
Re: Ruto on BBC
« Reply #2 on: April 30, 2019, 05:37:34 PM »
Difference between money earned and money stolen.  The man will have you locked up for $25 but will throw away millions in tangatanga harambees.

Quite apt

Not even Russian billionaire oligarchs or Saudi billionaire monarchs waste hard earned money like Ruto much as theirs is stolen. These at least add some value. Ruto is in outright theft
2 Timothy 2:4  No man that warreth entangleth himself with the affairs of this life; that he may please him who hath chosen him to be a soldier.